Enrolment options

SWA1343: Mbinu za Uzungumzaji na Uandishi katika Kiswahili
Trimester 3

SWA 1343: MBINU ZA UZUNGUMZAJI NA UANDISHI KATIKA KISWAHILI

 MADHUMUNI YA MODULI:

Lengo kuu la Moduli hii ni kumpa mwanafunzi uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiswahili fasaha kwa kuzingatia kanuni za uandishi na uzungumzaji. Hivyo, mwishoni mwa moduli hii, wanafunzi wataweza:

  • Kuandika kuhusu mada mbalimbali kwa kuzingatia kanuni za uakifishaji katika Kiswahili;
  • Kuzungumzia mada maalumu kwa kutumia lugha fasaha;
  • Kusikiliza taarifa mbalimbali katika matini tofauti na kubainisha hoja kuu zilizotolewa;
  • Kusoma kwa makini matini mbalimbali kwa kufuata kanuni za lugha ya Kiswahili;
  • Kutumia lugha ya Kiswahili kwa njia inayofaa katika miktadha mbalimbali.
Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)