Enrolment options

MLS6243: Semantiki, Leksikolojia, na Teminolojia katika Elimu
Semester 2

Moduli hii inalenga kumpa mwanafunzi uwezo wa kufanya uchunguzi wa kina katika semantiki, leksikolojia, teminolojia na pragmatiki katika muktadha wa elimu. Moduli hii inatarajia pia kumwezesha mwanafunzi kupata stadi za kufanya utafiti na uhakiki wa tafiti za hivi karibuni katika nyanja za semantiki, leksikolojia, teminolojia na pragmatiki kwa ajili ya matumizi yake katika elimu. Hatimaye, mwanafunzi ataweza kufanya kazi mbalimbali kwa kueleza na kuhakiki tafiti zilizojitokeza katika utunzi wa kamusi na pragmatiki katika Kiswahili na hata kuchunguza msamiati na kamusi mbalimbali zilizoandikwa katika lugha ya Kiswahili.


Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)