Enrolment options

MLS6244: FASIHI LINGANISHI KWA AJILI YA LUGHA KATIKA ELIMU
Semester 2

Moduli hii inatarajiwa kumfanya mwanafunzi afahamikiwe  ujuzi wa jumla kuhusiana na fasihi linganishi kwa ajili ya lugha katika elimu. Wanafunzi watatambulishwa  kwa masuala mengi mtambuka ya kinadharia, matini za kifasihi, kutalii masuala ya kihistoria na sasa yanayohusiana na usasa, usasaleo na utanadawazi. Hii itawasaidia wanafunzi kuchambua kazi mbalimbali za kifasihi kutoka katika visasili, dhamira na motifu za kiutu na zile za mikabala ya kifeministi zinazojitokeza kati sio tu katika tamaduni  na nyakati tofauti bali pia zinajitokeza kwa waandishi tofauti pamoja na tanzu tofauti. Haya yote yatatazamwa mkazo ukiwekwa katika malengo ya  ufundishaji wa lugha na fasihi katika elimu. Hii ikiwa na maana ya ufundishaji wa fasihi linganishi kwa minajili ya kufundishia lugha na fasihi katika elimu.

Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)